Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Profesa Faustin Kamuzora amemteua Bwana Richard Muyungi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira katika Ofisi hiyo.

Awali Bwana Muyungi alikua ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira katika Ofisi ya Makamu wa Rais. Bwana Muyungi pia ni mjumbe wa Bodi ya Dunia ya mfuko wa mabadiliko ya tabianchi akiwakilisha Afrika. Pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri wa Marais wa Afrika kuhusu masuala ya mabadiliko ya tabianchi (CAHOSCC)

Uteuzi wa Bwana Muyungi umeanza mara moja tarehe 8/2/2017

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...