Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Mh. Tundu Lissu (kulia) akijadiliana jambo na mawakili wake, Peter Kibatala (wa kwanza kushoto) na Jeremiah Mtobdesya baada ya kesi yake inayomkabili ya uchochezi kuahirishwa. Katika kesi hiyo Lissu anashtakiwa pamoja na wanahabari, Simon Mkina, Idrisa Jabir na Ismail Mehboob.
Mhariri wa gazeti la Mawio, Simon Mkina na mwanahabari Idrisa Jabir wakiwa nje ya chumba cha mahakama baada ya kesi yao ya uchochezi kuahirishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...