Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege nchini ATCL mhandisi Ladslaus Matindi akikagua eneo la kurukia ndege katika uwanja wa ndege wa Songea,kulia meneja wa mamlaka ya usalama na usafiri wa Anga mkoani Ruvuma Janeth Lwiva.
Meneja wa shirika la ndege ATCL mkoa wa Mtwara na Ruvuma Esther Mahiga kushoto akimuongoza mkurgenzi mkuu wa shirika hilo mhandisi Ladslaus Matindi kukagua uwanja wa ndege wa Songea kabla ya ndege za shirika hilo kuanza safari zake mkoani Ruvuma, wa pili kulia meneja wa mamlaka ya usalama na usafiri wa Anga mkoa wa Ruvuma Janeth Lwiva na kulia meneja wa uwanja wa ndege wa Songea Fasha Valentin.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt Binilith Mahenge kushoto akimweleza jambo mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege Tanzania ATCL Mhandisi Ladslaus Matindi ofisini kwake mjini Songea leo, ATCL kupitia ndege zake za Bombadier zitaanza safari zake kati ya D,slaam na Songea mkoani Ruvuma baada ya wiki sita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...