JESHI LA ULINZI
LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA
HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : “N G O M E”
Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo:
DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,
Telex
: 41051 DAR
ES SALAAM, 07 Februari,
2017.
Tele Fax
: 2153426
Barua
pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti : www.tpdf.mil.tz
Jeshi la
Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa ufafanuzi kuhusu uvaaji wa sare
za Jeshi kwa viongozi wanajeshi wanaoteuliwa na kupewa madaraka mbalimbali nje
ya Jeshi. Hivi karibuni kumekuwa na mjadala juu ya uhalali wa uvaaji wa sare
hizo.
Jeshi la
Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kuwataarifu wananchi kuwa kulingana na
kanuni za Majeshi ya Ulinzi juzuu ya kwanza, viongozi hao wanaruhusiwa kisheria
kuvaa sare za Jeshi wanapokuwa wakitekeleza majukumu maalum, hivyo wananchi
waendelee kutoa ushirikiano kwa viongozi hao waliopo katika maeneo yao.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari
na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0756-716085
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...