
Shughuli za Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 3) ukiendelea mbele ya Jengo jipya la Abiria kama inavyoonekana pichani kufatia ziara ya kushtukiza ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyofanya hapo jana na kutoa Maagizo kwa Mkandarasi wa Uwanja huo kuanza kazi mara moja kuanzia leo.
Kazi ya Umwagiliaji ikiendelea katika sehemu ya mbele ya ya Jengo jipya la Abiria kama inavyoonekana pichani.
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Moja ya nguzo katika jengo hilo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 3).
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa sehemu ya chini ya maegesho ya ndege kama inavyoonekana.
Mafundi wakiendelea na ujenzi sehemu ya juu ya jengo hilo la Abiria kama inavyoonekana.
Sehemu ya mbele ya jengo hilo la Abiria kama linavyoonekana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...