Mwakilishi
wa Mashirika ya Kimataifa nchini na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Alavaro Rodriguez (katikati) akiwa
ameongozana na Mkurugenzi anayesimamia Mashirika ya Umoja wa Mataifa
,Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ,Balozi
Celestine Mushi (kushoto) na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya
Weruweru ya mkoani Kilimanjaro,Rosalia Flavian wakiingia katika ukumbi
wa shule hiyo kwa ajili kongamano.
Mwakilishi wa Mashirika ya Kimataifa nchini na Mwakilishi Mkazi wa
Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Alavaro Rodriguez akizunguza katika Kongamano hilo.
Mtaalamu wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania ,Hoyce Temu akizungumza katika kongmano hilo. 

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...