Wakazi wa Tunduru mkoni Ruvuma na watumiaji wa barabara ya Namtumbo – Tunduru, Tunduru Mangaka wametakiwa kuitunza barabara hiyo ili iweze kudumu na kuweza kutumika kwa vizazi vijavyo.
Barabara hiyo ambayo imekamilika kwa asilimia Tisini na tisa na sasa mkandarasi yuko kwenye hatua za kumaliza uwekaji wa alama za barabarani.
Wito huo umetolewa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa mara baada ya kukagua barabara hiyo.
Home
HABARI
WAKAZI WA TUNDURU,WATUMIAJI WA BARABARA YA NAMTUMBO - TUNDURU,TUNDURU - MANGAKA WAMETAKIWA KUITUNZA BARABARA HIYO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...