Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba (katikati) akiongea wakati wa mkutano na na Mabalozi ambao ni Washirika wa Maendeleo. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais liliko barabara ya Luthuli.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwasilisha mada na kuonyesha picha mbalimbali za uharibifu wa mazingira zilizopigwa wakati wa ziara yake ya mikoa 10 mwaka jana kwa Mabalozi ambao ni Washirika wa Maendeleo ya masuala ya mazingira.
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano huyo ambao ni Mabalozi wakifuatilia kwa makini wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwasilisha mada kwenye mkutano huo.
Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Richard Muyungi (wa pili toka kulia) akifanunua jambo wakati wa mkutano huo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na
Mazingira Mh. January Makamba wakiongea jambo Mwakilishi wa UN Nchini Tanzania
Alvaro Rodriguez baada ya kumaliza mkutano huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...