Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee John Malecela wakati alipomtembelea nyumbani kwake, Kilimani mjini Dodoma leo Februari 1, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee John Malecela wakati alipomtembelea nyumbani kwake, Kilimani mjini Dodoma Februari 1, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee John Malecela wakati alipomtembelea nyumbani kwake, Kilimani mjini Dodoma leo Februari 1, 2017. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...