Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Juma(Mwenye shat ijeupe) akifuatilia Mada kuhusu Mpango Makakati wa Miaka Mitano wa Mahakama ya Tanzania pamoja na Maboresho ya Mahakama iliyokuwa ikitolewa leo na Mratibu wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahahakama ya Tanzania (Judiciary Delivery Unit-JDU) jijini Dar es Salaam
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Ndg. Hussein Kattanga akifafanua jambo kuhusu Mada ya Maboresho ya Mahakama ya Tanzania iliyokuwa ikitolewa na Mratibu wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama ya Tanzania (Judiciary Delivery Unit) leo jijini Dar es Salaam
Wajumbe wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama ya Tanzania (Judiciary Delivery Unit) wakiwa na Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Juma(mwenyeshatijeupe) kwa ajili ya kutoa taarifa za Maendeleo ya Maboresho ya Mahakama
Mratibu wa Kitengo cha Usimamizi wa Maboresho ya Mahakama ya Tanzania (Judiciary Delivery Unit) Mhe. Zahara Maruma (mwenyemiwani) akimuelezea Kaimu Jaji Mkuu waTanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Juma(hayupo Pichani) Maendeleo ya Maboresho ya Mahakama leo jijini Dar es Salaam


PICHA NA LYDIA CHURI WA MAHAKAMA YA TANZANIA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...