Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa
Rais Prof. Faustin Kamuzora akipokewa na watumishi wa Ofisi yake mjini Dodoma
mara baada ya kuwasili katika Ofisi zilizopo `Area D` Dodoma. Kulia ni Bi. Oigenia
Mpanduji Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa
Rais Prof. Faustin Kamuzora akisalimiana na Bw. Isaya Kisiri Afisa Ugavi
Mwandamizi mara baada ya kuwasili katika Ofisi zilizopo `Area D` Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu
wa Rais Eng. Ngosi Mwihava (kushoto) akiongea na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa
Rais mjini Dodoma.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...