Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Bi Lekhethe Mmakgoshi kutoka Afrika Kusini akiongoza Ujumbe wa Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) wanaofanyakazi zao ndani na nje ya Bara la Afrika mara walipofika Ikulu Mjini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Ujumbe wa Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) wanaofanyakazi zao ndani na nje ya Bara la Afrika unaoongozwa na Bi Lekhethe Mmakgoshi kutoka Afrika Kusini (wa pili kulia) walipofika Ikulu Mjini Unguja leo (Picha na Ikulu)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...