Mratibu wa Mafunzo kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa
Afrika (SADC), Bi. Eliet Magogo akiwasilisha mada katika warsha ya
kuhamasisha raia kujiunga katika jeshi la ulinzi wa amani la jumuiya
hiyo iliyofanyika leo katika Hotel ya Serena Jijini Dar es Salaam na
kuhudhuriwa na Watumishi kutoka katika Wizara, Idara na Taasisi za
Serikali. Katikati ni Mkuu wa Kitengo kinachoshughulikia raia katika
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, Bw. Ernest Kantchentche na
kushoto ni Bi. Caroline Chipeta, Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano
wa Kikanda katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki.

Sehemu ya Maafisa waliohudhuria warsha hiyo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kutoka kulia ni Bi. Felista Rugambwa, Bw. Deogratius Dotto na Bw. Abdallah Mrisho.

Sehemu nyingine ya Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa.

Warsha ikiendelea
Picha ya pamoja.
Sehemu ya Maafisa waliohudhuria warsha hiyo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kutoka kulia ni Bi. Felista Rugambwa, Bw. Deogratius Dotto na Bw. Abdallah Mrisho.
Sehemu nyingine ya Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa.
Warsha ikiendelea
Picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...