Mkuu wa Kikosi cha  Usalama Barabarani mkoa wa Dar es salaam Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP  Awadhi Haji akimhoji dereva wa bodaboda alipokuwa amewabeba watoto wa shule watatu,huku akijua kufanya hivyo ni kosa. Dereva huyo alikamatwa leo asubuhi maeneo ya Mbezi Makonde jijini Dar es salaam. Watanzania tuungane pamoja tupunguze ajali na kuokoa maisha ya watoto wetu wa shule na raia wengine, kwa kweli....Hii haikubaliki!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...