Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Dar es salaam Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Awadhi Haji akimhoji dereva wa bodaboda alipokuwa amewabeba watoto wa shule watatu,huku akijua kufanya hivyo ni kosa. Dereva huyo alikamatwa leo asubuhi maeneo ya Mbezi Makonde jijini Dar es salaam. Watanzania tuungane pamoja tupunguze ajali na kuokoa maisha ya watoto wetu wa shule na raia wengine, kwa kweli....Hii haikubaliki!
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Dar es salaam Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Awadhi Haji akimhoji dereva wa bodaboda alipokuwa amewabeba watoto wa shule watatu,huku akijua kufanya hivyo ni kosa. Dereva huyo alikamatwa leo asubuhi maeneo ya Mbezi Makonde jijini Dar es salaam. Watanzania tuungane pamoja tupunguze ajali na kuokoa maisha ya watoto wetu wa shule na raia wengine, kwa kweli....Hii haikubaliki!


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...