Sheikh Shariff Majini ameongeza siku mbili zaidi za kukaa Dodoma na sasa atakuwepo leo Jumatatu Mei 22, na kesho Mei 23, 2017. Sheikh ataendelea kutoa huduma ya Visomo na Dua kwa siku mbili hizo kuanzia saa mbili asubuhi mpaka sita mchana.
Baada ya kumaaliza hizo siku mbili siku ya Jumatano Sheikh anaanza safari ya kuelekea Arusha kwa ajili ya mkutano wa akina mama utakaofanyika siku ya Jumapili tarehe 28 May katika ukumbi wa C.C.M Mkoa. Pichani ni matukio mbalimbali yakimuonyesha sheikh akifanya Dua na visomo jana Jumapili Mei 21, 2017 kwenye ukumbi wa Kamanda Mbogo uliopo mjini Dodoma.
Sheikh shariff Majini akiendelea na mkutano katika ukumbi wa Kamanda Mbogo uliopo jirani na chuo cha CBE mjini Dodoma wikiendi hii
Sheikh Shariff Majini akiendesha mkutano huo katika ukumbi wa Kamanda Mbogo uliopo jirani na chuo cha CBE mjini Dodoma wikiendi hii
Sheikh Shariff Majini akiendesha mkutano huo katika ukumbi wa Kamanda Mbogo uliopo jirani na chuo cha CBE mjini Dodoma wikiendi hii
Sheikh Shariff Majini akiombea wahudhuriaji kwenye mkutano huo katika ukumbi wa Kamanda Mbogo uliopo jirani na chuo cha CBE mjini Dodoma wikiendi hii







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...