Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuendeleza Quraan na Sunna Tanzania (JAQUSUTA) Sheikh Hassan Kabeke (kushoto aliyesimama) akizungumza kwenye Maulid iliyofanyika jijini Mwanza juzi. Waliokaa kushoto ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania Mkoa wa Mwanza (BAKWATA) Sheikh Salum Mohamed Balla, Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella, kulia wa kwanza ni Sheikh Khatm kutoka Malindi Kenya na wa pili ni Kaimu Mufti Othman Issa Othman.
 Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania Mkoa wa Mwanza (BAKWATA) aSheikh Salum Mohamed Balla na Mkuu wa mkoa huo  Mhe. John Mongella (wa pili kutoka kushoto) wakifuatilia mawaidha kwenye Maulid iliyofanyika jijijni Mwanza  juzi.Kulia wa kwanza ni Sheikh Khatm kutoka Malindi Kenya na wa pili ni Kaimu Mufti Othman Issa Othman.
Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania Mkoa wa Mwanza (BAKWATA) Sheikh Salum Mohamed Balla na Mkuu wa mkoa huo  Mhe. John Mongella (wa pili kutoka kushoto) wakifuatilia mawaida kwenye Maulid iliyofanyika jijijni Mwanza.Kulia wa kwanza ni Sheikh Khatm kutoka Malindi Kenya na wa pili ni Kaimu Mufti Othman Issa Othman. Picha na Baltazar Mashaka.
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...