SIMU.TV: Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa Abdallah Bulembo, amemsimamisha kazi katibu msaidizi wa CCM wilayani Mbulu kutokana na ubadhirifu wa fedha; https://youtu.be/5Cdji3IKmOU

SIMU.TV: Mkoa wa Kagera umeanza kuchukua tahadhari kujikinga na ugonjwa hatari wa Ebola ambao umeanza kushambulia maeneo kadhaa nchini Congo DRC; https://youtu.be/IxVGRPd_Q18

SIMU.TV: Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo, macho na masikio wamewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya kutoa huduma ya magonjwa hayo kwa wakazi wa mkoa huo; https://youtu.be/Zu3nPcQe_Mc

SIMU.TV: Mwenge wa uhuru umekamilisha mbio zake mkoani Mtwara kwa kufungua miradi kadhaa yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 10; https://youtu.be/AhD1kK-USRM

SIMU.TV: Baadhi ya wakulima wa zao la Tumbaku mkoani Tabora wameiomba serikali kuingilia kati tabia ya baadhi ya watumishi wa vyama vya msingi kuwabambikia madeni; https://youtu.be/4xyTkr1yWvM

SIMU.TV: Fahamu serikali ya Tanzania ilichoahidi kukifanya kwa wakazi wa kanda ya ziwa katika kumbukumbu ya vifo vya mamia ya watanzania kwenye ajali ya Mv Bukoba; https://youtu.be/UTdvPLf-nDM

SIMU.TV: Timu ya taifa ya vijana Serengeti boys inashuka dimbani usiku huu kuvaana na timu ya taifa ya vijana ya Niger kuwania nafasi ya kucheza nusu fainali; https://youtu.be/YAOM5WC6UDE

SIMU.TV: Tazama sehemu ya mapokezi waliyoyapata timu ya soka ya Yanga walipowasili jijini Dar Es salaam wakitokea mkoani Mwanza; https://youtu.be/MQQ_OB9SQrU

SIMU.TV: Rais wa Zanzibar Dkt Alli Shein amezindua rasmi kampeni ya kuchangia fedha kwa lengo la kufufua michezo mashuleni visiwani humo; https://youtu.be/TwqRifhTIxM

SIMU.TV: Timu ya Azania ya Tanzania itashuka dimbani usiku huu katika uwanja wa Liverpool nchini Uingereza kuwania kombe la Standard Chartered; https://youtu.be/PHklpeoVOw8



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...