Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan –JICA, Bw. Shinichi Kitaoka (kushoto), akielezea namna Shirika lake lilivyojipanga kuendeleza ushirikiano na Tanzania alipokutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake, Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), (wa kwanza kulia), Jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango. Bi. Amina Khamis Shaaban (kushoto), akisikiliza kwa makini mazungumzo kati ya Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) na Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan –JICA, Bw. Shinichi Kitaoka, (hawapo pichani), walipokutana Jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango. Dkt. Dkt. Khatibu Kazungu (kulia), na James Andindilile (kutoka Wizara ya Nishati na Madini) wakisikiliza kwa makini mazungumzo kati ya Waziri wa Fedha na Mipango. Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) na Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan –JICA, Bw. Shinichi Kitaoka, (hawapo pichani), walipokutana Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Kamishna wa Idara ya Sera wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Shogholo Msangi na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Wizara hiyo Bi. Susana Mkapa, wakiangalia moja ya nyaraka zilizowekwa mezani wakati wa mazungumzo kati ya Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan-JICA, Bw. Shinichi Kitaoka, Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji (BU), Prof. Adolf Mkenda (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt, Khatibu Kazungu, wakisikiliza kwa makini mazungumzo kati ya Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) na Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan-JICA, Bw. Shinichi Kitaoka, Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...