Na Mathias Canal, Pemba
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 amewasili Visiwani Pemba-Zanzibar kwa Ziara ya kikazi.
Ambapo hii Leo atakuwa katika Wilaya ya Chakechake, katika Ziara hiyo Katibu Mkuu UVCCM Taifa atakagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM katika kipindi hiki Cha Miaka mitano 2015-2020
Aidha, Shaka atashiriki shughuli Mbalimbali za kijamii sambamba na kuzungumza na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na Jumuiya zake.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg
Shaka Hamdu Shaka leo Agosti 15, 2017 akisalimiana na Wanachama wa chama
cha Mapinduzi CCM na Jumuiya zake mara baada ya kuwasili Visiwani
Pemba-Zanzibar
kwa Ziara ya kikazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...