Msanii
Mkongwe wa Muziki Bongo Fleva, Juma Nature akiongoza kundi la TMK
Wanaume Family katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager
lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam
mwishoni mwa wiki.
Msanii wa Bongofleva Barnaba akiimba kwa kutumia Live band katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager
lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Msanii
Mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva , Rehema Chalamila (Ray C) akitoa
Burudani katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager
lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Dj
Maarufu kutoka kituo cha Radio cha Clouds Fm, Dj Zero akionyesha ufundi
wa kuchezea Santuri katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager
lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam
Dj
Mkongwe katika uchezeshaji wa Santuri, John Dilinga (DJ JD) akionyesha
ufundi kwa kupiga nyimbo za Zamani katika Tamasha
la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager
lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...