Msanii  Mkongwe wa Muziki Bongo Fleva, Juma Nature akiongoza kundi la TMK Wanaume Family katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Msanii wa Bongofleva Barnaba akiimba kwa kutumia Live band katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Msanii Mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva , Rehema Chalamila (Ray C) akitoa Burudani katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Dj Maarufu kutoka kituo cha Radio cha Clouds Fm, Dj Zero akionyesha ufundi wa kuchezea Santuri katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam
 Dj Mkongwe katika uchezeshaji wa Santuri, John Dilinga (DJ JD) akionyesha ufundi kwa kupiga nyimbo za Zamani katika Tamasha la Miaka 40 ya Bia ya Safari Lager lililofanyika katika Viwanja vya Readers Club Jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...