Shirika lisilo la kiserikali la AESH linalojishughulisha na utoaji wa elimu kuhusu matumizi sahihi ya fedha zinazotolewa na serikali kupitia miradi mbalimbali ikiwemo elimu,utuzaji wa mazingira,kilimo na ujasiriamali,kutoka wilaya ya TUNDURU mkoani RUVUMA linatarajia kuanza kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali kupitia mfuko wa elimu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...