Shirika lisilo la kiserikali la AESH linalojishughulisha na utoaji wa elimu kuhusu matumizi sahihi ya fedha zinazotolewa na serikali kupitia miradi mbalimbali ikiwemo elimu,utuzaji wa mazingira,kilimo na ujasiriamali,kutoka wilaya ya TUNDURU mkoani RUVUMA linatarajia kuanza kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali kupitia mfuko wa elimu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...