Wanafunzi mbalimbali wa shule za sekondari na za msingi kutoka mikoa ya Tanzania wakiwa katika fainali ya mshindano ya 'Genius Cup' ambayo yanafanyika katika shule ya Secondari ya Feza jijini Dar es Salaam leo. Mikoa ambayo imeshiriki ni Dar es Salaam,Tanga, Mwanza, Dodoma, Mbeya, Mtwara, Pwani, Arusha na Zanzibar.
Wanafunzi mbalimbali wa shule za sekondari na za msingi kutoka mikoa ya Tanzania wakiwa katika fainali ya mshindano ya 'Genius Cup' ambayo yanafanyika katika shule ya Secondari ya Feza jijini Dar es Salaam leo. Picha na Robert Okanda Blogspot |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...