Bango la pili la filamu mpya ya NDOTO YA wana Diaspora wa Kitanzania waishio Ufaransa limeachiwa rasmi kusisitiza ujio wa filamu hiyo inayosubiriwa kwa hamu kila kona ya dunia. Yaani baada ya kupasha kwa bango la kwanza kuonyesha baadhi ya waigizaji nyota, mara hii bango linaonyesha wahusika wapya na waandaaji wakikwambia  kaa mkao wa kula na tegemea mazuri!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...