Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42 na mkaazi wa jijila Dar Es Salaam.
Usiku wa kuamkia tarehe 02 Septemba ya mwaka huu wa 2017, nilipatwa na jambo la kutweza, kufedhehesha na kutia aibu mbele ya mke wangu.
Jambo hili mbali na kunitweza, kunifedhehesha na kunitia aibu, lakini pia limeyabadilisha maisha yangu juu chini na kuweka doa la milele ambalo ninaamini halitafutika kwenye akili na nafsi yangu mpaka siku nitakayo rejea kwa Muumba wangu.
NI JAMBO GANI HILO ?


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...