Jengo la Kampuni mpya ya usambazaji wa kazi za wasanii wa Bongo Movie, lililopo Kinondoni Hananasifu, Jijini Dar es salaam. Uongozi wa Kampuni hiyo umefanya Uzinduzi wake rasmi jioni hii na kuhudhuliwa na Wasanii mbalimbali pamoja na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kampuni ya Treeo Tabasamu, John Kallaghe akifafanua jambo wakati wa Mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi rasmi wa Kampuni hiyo, uliofanyika jioni hii katika ofisi zao, Kinondoni Hananasifu, Jijini Dar es salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Ritchie Mtambalike pamoja na Mkuu wa Kitengo za Masoko wa Kampuni ya Treeo Tabasamu, Jacob Steven (JB).

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Treeo Tabasamu, Ritchie Mtambalike akizungumza katika Uzinduzi rasmi wa Kampuni hiyo, jioni hii katika ofisi zao, Kinondoni Hananasifu, Jijini Dar es salaam.  
Mkuu wa Kitengo za Masoko wa Kampuni ya Treeo Tabasamu, Jacob Steven (JB) akizungumza katika Uzinduzi rasmi wa Kampuni hiyo, jioni hii katika ofisi zao, Kinondoni Hananasifu, Jijini Dar es salaam. 
Jaqueline Wolper ni mmoja wa wasanii waliohudhulia uzinduzi huo.
Ankal Issa Michuzi (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na JB, Ritchie pamoja na Dude.
Ankal na vijana wake pamoja na John Kallaghe (wa pili kulia).
Muonekano wa Jengo hilo kwa mbele.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...