Kwaya ya St. Albans Cathedral ya Anglican jijini Dar es salaam ipo mjini Lusaka, Zambia, ambako imeungana na wenzao  kutoka Pembroke College Choir ya Uingereza katika kusherehekea sikukuu ya Cathedral Holly Cross ya Lusaka na kushiriki kwa pamoja katika misa ya asubuhi leo
 Kwaya ya St. Albans Cathedral ya Anglican jijini Dar es salaam ikiimba katika kusherehekea sikukuu ya Cathedral Holly Cross ya Lusaka na kushiriki kwa pamoja katika misa ya asubuhi leo

Kwaya ya Pembroke College Choir ya Uingereza ikiimba katika kusherehekea sikukuu ya Cathedral Holly Cross ya Lusaka na kushiriki kwa pamoja katika misa ya asubuhi leo
  Kwaya ya St. Albans Cathedral ya Anglican jijini Dar es salaam ikiimba katika kusherehekea sikukuu ya Cathedral Holly Cross ya Lusaka na kushiriki kwa pamoja katika misa ya asubuhi leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...