Lori lenye namba za usajili T483BHZ lililokuwa likisafirisha mafuta kuelekea nje ya nchi limepata ajali baada ya kuigonga gari ndogo aina ya Toyota IST yenye namba T727CVM eneo la Kimara Bucha jijini Dar es Salaam na kupelekea tela la Lori hilo kupinduka na kumwaga mafuta barabarani. Picha zote na Kajunason/MMG.
Baadhi ya vijana wakichota mafuta yaliyokuwa yakimwagika kutoka katika tera lililodondoka.
Muonekano wa gari lilivyokuwa limefunga njia na kusababisha foleni magari kupita barabara ya pembeni.
Msongamano wa magari katika barabara ya Morogoro.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...