Mbunge wa kawe,Halima Mdee, Mbunge jimbo Bunda, Ester Bulaya na Msaanii Wa bongo Movie,Wema Sepetu wakiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam leo. Wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya walikuwa wametoka kusomewa mashtaka yanayowakabili, huku Wema Sepetu akiwa amewasili kwa ajili ya kusikiliza kesi yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...