Taasisi ya utafiti ya REPOA, imezindua Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi  (Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) Katika Warsha iliyowakutanisha Wasomi na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Dodoma.
​Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo (MB) akitoa Hotuba ya Ufunguzi wa warsha ya uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi  (Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) .Warsha iliyowakutanisha Wasomi na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Dodoma.
Baadhi ya wadau walioshiriki katika warsha ya uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi  (Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) Mkoani Dodoma.
 ​Mkurugenzi wa Repoa  Dk. Donald Mmari Akifungua Warsha mkoani Dodoma iliyowahusisha wadau mbalimbali.
​Picha ya Pamoja ya Washiriki wa Warsha hiyo pamoja na Mgeni rasmi mkoani Dodoma.
Mwakilishi Kutoka Taasisi ya Utafiti ya KIPPRA ya Nchini Kenya, akielezea Jinsi Kenya inavyogatua Madaraka kwa Umma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...