Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wawekezaji Binafsi katika elimu (TAPIE), wakiendelea na majadiliano kwenye Mkutano Mkuu wa mwaka uliofanyika kwa siku mbili mkoani Dodoma.
 WAJUMBE waliohudhuria Mkutano Mkuu wa mwaka wa Chama cha Wawekezaji Binafsi katika Elimu (TAPIE), wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimisha mkutano huo wa siku mbili uliofanyika mkoani Dodoma.Mwanamke pekee anayeonakana mbele ni Rais wa chama hicho, Ester Mahawe ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum (CCM).
  Rais wa Chama cha Wawekezaji Binafsi katika elimu (TAPIE),  Ester Mahawe akimkabidhi cheti mshiriki wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa chama hicho, Imelda Haule mwishoni mwa mkutano huo uliofanyika jana mkoani Dodoma. Anayefuata pichani ni Makamu wa Rais wa TAPIE, Khalfan Swali na mshauri wa shule za Tusiime Laurent Gama.
Rais wa Chama cha Wawekezaji Binafsi katika elimu (TAPIE),  Ester Mahawe akimkabidhi cheti mshiriki  wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa chama hicho, Mkurugenzi wa shule za Tusiime, Albert Katagira, mwishoni mwa mkutano huo uliofanyika jana mkoani Dodoma. Anayefuata pichani ni Makamu wa Rais wa TAPIE, Khalfan Swali na mshauri wa shule za Tusiime Laurent Gama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...