Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt.Grace Magembe akitoa maelekezo kwa wananchi waliofika katika upimaji wa afya kwenye  viwanja vya Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam.
 Wazazi na walezi wakiendelea kumiminika kusajili watoto wao na bima ya afya ya Toto Afya Kadi  kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja ikiwa ni kampeni ya Afya Mkoa wa DSM. Pichani watumishi wa NHIF wakiendelea na uandikishaji .
 Maafisa wa NHIF wakitoa maelekezo kwa wazazi namna ya kujaza fomu za bima ya Toto Afya Kadi, leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Masoko wa Tanga Fresh Ltd, Ally Sechonge akigawa maziwa kwa wananchi  waliofika katika upimaji wa afya ndani ya viwanja vya Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam.


Sehemu ya wananchi waliofika katika upimaji wa afya ndani ya viwanja vya Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...