Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Dorothy Mwanyika (Kushoto) akipokelewa na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Ardhi mara baada ya kuapishwa na kuwasili katika ofisi zilizopo kanda ya Dar es salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Dorothy Mwanyika (Kulia) akipokelewa na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Ardhi mara baada ya kuapishwa na kuwasili katika ofisi zilizopo kanda ya Dar es salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakimpokea kwa shangwe Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Dorothy Mwanyika baada ya kuwasili katika ofisi za Wizara ya Ardhi zilizopo kanda ya Dar es salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bibi Dorothy Mwanyika wakati akiongea nao baada ya kuapishwa na kuwasili katika ofisi za Wizara ya Ardhi zilizopo kanda ya Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...