Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na wadau wa tasnia ya muziki (hawapo pichani) wakati wa Jukwaa la Sanaa lililofanyika leo katika Uwanja wa Taifa leo Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akifafanua jambo wakati wa Jukwaa la Sanaa lililofanyika leo katika Uwanja wa Taifa leo Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utamaduni Bibi. Shani Kitogo akijibu hoja wakati wa Jukwaa la Sanaa lililofanyika leo katika Uwanja wa Taifa leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wasanii wakifuatilia mada zilizokua zikiendelea wakati wa Jukwaa la Sanaa lililofanyika leo katika Uwanja wa Taifa leo Jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...