Mpiganaji Danford Mpumilwa ambaye ni Afisa Habari wa Taasisi hiyo akiendesha shughuli za maadhimisho ya siku ya Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na UNMICT hapo katika makao makuu mapya ya taasisi hiyo sehemu ya mlima Lakilaki, Kisongo, nje kidogo ya Arusha hayo mbele ya wageni pamoja na maafisa wa UNMICT.
Mamia ya wanafunzi wa Arusha na wageni mbalimbali wiki hii walihudhuria maadhimisho ya siku ya Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na UNMICT hapo katika makao makuu mapya ya taasisi hiyo sehemu ya mlima Lakilaki, Kisongo, nje kidogo ya Arusha
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...