Mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imesababisha adhaa kwa wakazi wa jiji hilo ambapo kwa maeneo ya Mbezi kuelekea Bwaloni/Kwa Msuguli au Malamba Mawili Shule nguzo ya umeme ya shirika la umeme la TANESCO imedondoka eneo la Malamba Mawili msikitini na kusababisha kufunga njia kwa wasafiri wa magari ambapo hakuna magari yanayovuka kwenda upande wa pili.
Tanesco tunawaomba msaada tumekwama inasemekana imedondoka saa 9 Usiku kuamkia leo 26.10.2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...