Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Mh,Rashid Ali Juma kushoto akiwa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wapili wa Rais Mohammed Aboud Mohammed wapili kushoto na Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt,Mohammed Bin Hamad Al Rumh watatu kushoto wakiangalia Ngoma za Utamaduni kabla ya kuondoka Zanzibar na kuelekea Dare es Salaam kwa Meli ya Kifahari ya Sultani Qabous wa Oman FULK AL SALAMAH.
Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Mh,Rashid Ali Jumaakipeana mikono na Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt,Mohammed Bin Hamad Al Rumh ikiwa ni ishara ya kuagana na kuondoka Zanzibar kuelekea Dare es Salaam kwa Meli ya Kifahari ya Sultani Qabous wa Oman FULK AL SALAMAH.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wapili wa Rais Mohammed Aboud Mohammed akipeana mikono na Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt,Mohammed Bin Hamad Al Rumh ikiwa ni ishara ya kuagana na kuondoka Zanzibar kuelekea Dare es Salaam kwa Meli ya Kifahari ya Sultani Qabous wa Oman FULK AL SALAMAH.
-Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wapili wa Rais Mohammed Aboud Mohammed akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Ziara ya Siku Nne alioifanya Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt,Mohammed Bin Hamad Al Rumh pamoja na ujumbe wake kabla ya kuondoka na kuelekea Dare es Salaam kwa Meli ya Kifahari ya Sultani Qabous wa Oman FULK AL SALAMAH.
Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Mh,Rashid Ali Juma akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Ziara ya Siku Nne alioifanya Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt,Mohammed Bin Hamad Al Rumh pamoja na ujumbe wake kabla ya kuondoka na kuelekea Dare es Salaam kwa Meli ya Kifahari ya Sultani Qabous wa Oman FULK AL SALAMAH.
Balozi mdogo wa Oman katika jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaefanyia kazi zake Zanzibar Dkt, Mohammed Bin Hamad Al Rumh akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Ziara ya Siku Nne alioifanya Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt,Mohammed Bin Hamad Al Rumh pamoja na ujumbe wake kabla ya kuondoka na kuelekea Dare es Salaam kwa Meli ya Kifahari ya Sultani Qabous wa Oman FULK AL SALAMAH.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...