Hivi ndivyo  linavyoonekana eneo la Jangwani jijini Dar es salaam mchana
huu, baada ya mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mengi ya jiji hili.
 Barabara ya Morogoro ikiwa imefungwa katika eneo la Fire, kufuatia maji mengi kujaa katika eneo Jangwani baada ya mvua kubwa ilinyeka maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam leo.
 Vikwangua anga vikiwa vimetandwa na wingu la Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar leo.
 Katika hali kama hii, baadhi ya wakazi wa Dar huona ni fursa kwao kutupa uchafu.
 Mkazi wa jiji la Dar akitota maji baada ya kulowa na mvua inayoendelea
kunyesha wakati akisuburi kuvuka barabara katika eneo la Makutano ya barabara ya Bibi Titi na Morogoro.
Usiombee gari ikubumie kiwese pindi mvua ikiwa inanyesha, maana unaipiga kibega peke yako labda kwa msaada wa abiria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...