Ndugu Wanajumuiya,
Kwa masikitiko makubwa mwanajumuiya Dr. Lindah Mhando na familia yake wa State College, Pa wanatangaza kifo cha mdogo wake *HAPPY OKOTH* kilichotokea Dallas, TX.
Happy alipatwa na mauti wakati akisikiliza maombi jioni ya Prayer Line ya Ijumaa October 27, 2017 pale Baylor Hospital Plano, TX  alipokuwa amelazwa. Mama yake mzazi, Mama Elizabeth Okoth, alikuwa pamoja naye.
Mipango ya Mazishi na taratibu zote zinaendelea na jumuiya itajulishwa yatayojiri.
Kwa sasa ndugu, jamaa na marafiki wanafika kuhani nyumbani kwa marehemu:
Advenir at Frankford Springs
Dallas, TX 75287

Kwa taarifa zaidi, wasiliana na:
Ps. Steve Momoh  214-830-8459*(Husband)

Rosemary Adelaja2147620270
Michael Nnadi ‭8628497980
Peter Mhando‭ 8144043781
Jessica Kataraiya 214773-6697
Eric Joshua 2145768903
Mama Mponzi 9174491607

Taarifa zaidi zitafuata baadae.
UONGOZI unachukua nafasi hii kutoa pole kwa familia nzima ya marehemu. Tukumike pamoja kuiweka familia katika maombi wakati wa kipindi hiki kigumu. AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...