Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi Zabron Bugingo,akielezea mradi mkubwa wa uoteshaji wa miche ya korosho kwa waandishi wa habari waliohitimu mafunzo ya uwandishi wa habari vijijini Mkoani Morogoro pindi walifanya ziara katika halmashauri hiyo jana.(Picha na Pamela Mollel).

Picha ikionesha miche ya korosho ikiwa katika hatua ya awali ya uoteshwaji.
Picha ikionesha jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi.
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohitimu mafunzo ya uwandishi wa habari za vijijini wakiwa katika boti kuelekea katika ziara ya kuona na kujifunza magofu ya kale kisiwani kilwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...