Chama cha mapinduzi ccm mkoa wa rRuvuma kimepanga kushinda kata zote zinazoshiriki uchaguzi mwaka huu kwa zile zilizokumbwa na matatizo kama vifo na nk hayo yamebainishwa na katibu wa ccm mkoa wa ruvuma B.Amina imbo wakati akimweleza mkuu wa mkoa wa ruvuma b mndeme alipotembelea ofisini kwake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...