Mkuu wa wilaya ya NYASA ISABELA CHILUMBA amemwomba mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME kuhakikisha anaingilia kati ujenzi wa nyumba yake ,ofisi ya mkurungenzi baada ya kuonekana TBA kushindwa kuifanya kazi kwa wakati huku TBA wakida kuwa maji ndiyo tatizo licha ya kuzungukwa na ziwa Nyasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...