Bi Rahma Asheri Mama aliejifungua Watoto Njiti  mapacha Nassir na Yassir akionesha tabasamu katika Sherehe za Wiki ya Watoto njiti Duniani iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
 Muuguzi Mkunga wa Hospitali ya Wagonjwa wa akili Bi Ruzuna Abdulrahim Mohd akitoa elimu kwa Wazazi waliopata watoto njiti katika Sherehe za Wiki ya Watoto njiti Duniani iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
 Madaktari pamoja na wauguzi wakiwa katika Picha ya  pamoja na Wazazi wa Watoto Njiti katika Sherehe za Wiki ya Watoto njiti Duniani  iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
Daktari Bingwa wa Watoto kutoka Shirika la HIPZ(Helth Improvement Project in Zanzibar)Hannah Peters akimfanyia vipimo mtoto njiti kumuangalia uzito wake  katika Sherehe za Wiki ya Watoto  njiti Duniani  iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...