Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani
Jafo (katikati) akimskiliza Meneja wa TARURA Wilaya ya Kiteto
Eng.Gerald Matindi akielezea hali ya ujenzi wa barabara ya
Namelock-Sunya.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo(kwanza kushoto) akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe. Tumaini Magesa, Mbunge wa Kiteto Mhe.Emanuel Papiyani na Mwenyekiti wa Ccm Wilaya wakikagua ujenzi wa barabara ya Namelock –Sunya eneo linalojengwa na Mkandarasi Maginga Business Holdings Company Ltd ya mjini Dodoma.

Muonekano wa barabara ya Namelock –Sunya eneo linalojengwa na Mkandarasi Maginga Business Holdings Company Ltd ya mjini Dodoma ambaye yuko site kwa miezi minne sasa lakini hali ya ujenzi wa barabara hiyo ikiwa hairidhishi.
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo akizungumza na wananchi wa kata ya Engusero –Wilayani Kiteto wakati wa ziara yake ya kazi Wilayani hapo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo(kwanza kushoto) akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe. Tumaini Magesa, Mbunge wa Kiteto Mhe.Emanuel Papiyani na Mwenyekiti wa Ccm Wilaya wakikagua ujenzi wa barabara ya Namelock –Sunya eneo linalojengwa na Mkandarasi Maginga Business Holdings Company Ltd ya mjini Dodoma.
Muonekano wa barabara ya Namelock –Sunya eneo linalojengwa na Mkandarasi Maginga Business Holdings Company Ltd ya mjini Dodoma ambaye yuko site kwa miezi minne sasa lakini hali ya ujenzi wa barabara hiyo ikiwa hairidhishi.
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo akizungumza na wananchi wa kata ya Engusero –Wilayani Kiteto wakati wa ziara yake ya kazi Wilayani hapo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...