Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo,walipokutana leo katika tamasha la maadhimisho ya miaka 500 ya kanisa la KKKT lililofanyika katika Uwanja wa Taifa.Wakwanza kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye .
 Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akimsisitizia jambo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo walipokutana kwenye Tamasha la  maadhimisho ya miaka 500 ya Kanisa la KKKT  lililofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini hapa.
Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akiwa na Waziri Mkuu Mstafu Frederick Sumaye wa kwanza kushoto ,kwenye tamasha la Maadhimisho ya miaka 500 ya kanisa la KKKT lililofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa jijini hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...