Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Hoteli ya Fantasy iliyojegwa katika Kata ya Msalato, Mjini Dodoma. Kulia kwake ni Mmiliki wa Hoteli hiyo Mhe. Mussa Hassan Mussa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Amani, Zanzibar na ayefuatia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula . Wengine katika picha kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Mhe Antony Mavunde na Mbunge wa Kijitoupele, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha.

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akiweka Jiwe la msingi la Ujenzi wa Awamu ya pili ya Hoteli ya Fantasy iliyopo Msalato, Mjini Dodoma. Kulia kwake ni Mmiliki wa Hoteli hiyo Mhe. Mussa Hassan Mussa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Amani, Zanzibar na kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Mhe Antony Mavunde
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akipanda Mti mara baada ya kuzindua Hoteli ya Fantasy iliyojegwa katika Kata ya Msalato, Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akizungumza wakati alipokwenda kuzindua Hoteli ya Fantasy iliyojegwa katika Kata ya Msalato, Mjini Dodoma. Kulia kwake ni Mmiliki wa Hoteli hiyo Mhe. Mussa Hassan Mussa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Amani, Zanzibar. Wengine katika picha kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde na anayefuatia ni Mbunge wa Kijitoupele, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha.


PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...