Msanii wa muziki wa Singeli Manfongo, akitumbuiza kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki, wakati wa Tamasha la Pinduapindia lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC,kwajili ya kuwaelimisha wateja wao kuhusiana na kifurushi cha pinduapindua.
Msanii wa muziki kizazi kipya Young Killer,akitumbuiza kwenye viwanja vya Magomeni-Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki, wakati wa Tamasha la Pinduapindia lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC,kwajili ya kuwaelimisha wateja wao kuhusiana na kifurushi cha pinduapindua.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...