Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC, Hawa Hamis (kushoto)akimwelewesha jambo Mwanakomba Shabani,Kuhusiana na huduma ya M-Pesa wakati wa mkutano wa akina mama uliojulikana kama"Atukuzamu  Women of Conference" uliofanyika jijini Dar es Salaam kwa Udhaminiwa na  Vodacom Tanzania PLC.
 Meneja wa  kitengo cha M-PESA wa Vodacom Tanzania PLC,Noel Mazoya (kushoto) akiongea na wanawake wajarisiliamali kuhusiana na huduma  M-Pesa  inayotolewa na kampuni hiyo wakati wa Kongamona la wanawake la"Atukuzamu  Women of Conference"uliofanyika katika ukumbi wa City Christian Center( CCC) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania PLC,Anayeshuhudia kulia ni mshereheshaji wa mkutano huo,Jimmy Byamungo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...