Mkuu wa Kitengo cha Biashara Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa,Thomas William, akizungumza na kipindi cha Hello Tanzania cha Uhuru FM,kuhusu zoezi la uandikishaji wananchi kwaajili ya vitambulisho vya Taifa katika Mikoa ya Manyara na Singida.
Ndugu Thomas atazungumzia zoezi hilo linavyoendelea katika mikoa mingine siku ya jumatatu tarehe 20-11-2017 katika kipindi Hello Tanzania cha Uhuru FM saa 02:00 kamili Asubuhi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...