Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akiongoza Kikao kazi cha
siku moja cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza, Kikao hicho kimefanyika
leo Desemba 1, 2017 katika Ukumbi wa Bwalo Kuu la Gereza Kuu Isanga, Mkoani
Dodoma.
Baadhi ya Wakuu wa Magereza Mikoa pamoja na Maafisa Waandamizi wa
Jeshi la Magereza wakifuatilia kwa makini maelekezo kutoka kwa Kamishna
Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(hayupo pichani)katika Kikao kazi
kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Bwalo la Gereza Kuu Isanga, Mkoani Dodoma.
Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga
akiwasilisha taarifa fupi katika Kikao kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi hilo
kilichofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Gereza Kuu Isanga, Mkoani Dodoma.
Wajumbe wa Sekretarieti wakifuatilia kikao kazi hicho kilichoongozwa na
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza leo Desemba 1, 2017 katika Ukumbi wa
Bwalo Kuu la Gereza Kuu Isanga, Mkoani Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...