Wachezaji wa mpira wa wavu wa Tanzania (jezi ya bluu) na wachezaji wa mpira wa wavu wa Kenya (nyeupe) wakichuana ikiwa ni Muendelezo wa  Mashindano ya Nane ya Mabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyoanza jana katika uwanja wa Taifa Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
 Wachezaji wa mpira wa wavu wa Tanzania (jezi ya bluu) na wachezaji wa Kenya (nyeupe) wakijiandaa kwa ajili ya kuanza mchezo baina yao uliofanyika leo katika uwanja wa ndani wa Taifa, Tanzania  ikiwa ni Muendelezo wa  Mashindano ya Nane ya Mabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyoanza jana katika uwanja wa Taifa Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
 Wachezaji wa Timu ya mpira wa wavu wa Tanzania wakijadiliana wakati wa mapumziko wakati wa mchezo baina yao na kenya katika Muendelezo wa  Mashindano ya Nane ya Mabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyoanza jana katika uwanja wa Taifa Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Mashabiki wa Timu ya Tanzania wakishangilia wakati timu ya mpira wa wavu ya Tanzania ikicheza na timu ya mpira wa wavu ya Kenya leo katika uwanja wa ndani wa Taifa, Tanzania katika Muendelezo wa Mashindano ya Nane ya Mabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyoanza jana katika uwanja wa Taifa Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)​

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...